#Local News

GACHAGUA AKANA KUJIUNGA NA CHAMA KIPYA

Naibu Rais Rigathi Gachagua amejitenga na taarifa kwamba amepata chama kipya cha kisiasa, akizitaja taarifa hizo kuwa za uongo na zenye nia mbaya.

Kwa mujibu wa gazeti moja nchini hii leo, Gachagua yuko kwenye mchakato wa kujiunga na chama cha The New Democrats kufuatia mgawanyiko wake na Rais William Ruto.

Hata hivyo, Gachagua amelishutumu gazeti hilo, akisema hatua hiyo inalenga kumdhalilisha kama Naibu rais na naibu kinara wa chama tawala cha UDA.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

GACHAGUA AKANA KUJIUNGA NA CHAMA KIPYA

MGOMO WATATIZA UCHUKUZI KIRINYAGA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *