315 WAMEANGAMIA KWENYE MAFURIKO, SERIKALI YASEMA
Watu 315 wameaga dunia kutokana na mafuriko hapa nchini, 38 hawajulikani waliko huku 293,205 wakiachwa bila makao baada ya makazi yao kusombwa na maji ya mafuriko. Akiwahutubia waandishi wa habari katika jumba la Nyayo jijini Naiorbi, msemaji wa seriklai Isaac Mwaura, amesema wakenya takribani 306,522 wameathirika na mafuriko hayo, akitangaza kwamba kuna uwezekano mvua hiyo […]
English 




















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































