#Local News

KINDIKI ATETEA ‘UCHUNGU’ WA SUKARI

Huku hayo yakijiri, naibu Rais Kithure Kindiki ametetea mageuzi yaliyofanywa katika sekta ya kilimo cha miwa ikiwemo kukodishwa kwa viwanda 4 vya kusaka miwa kuwa mojawapo ya mikakati ya kuimarisha sekta hiyo.

Ameyasema haya baada ya kupokea ripoti kuhusu sekta ya sukari, akitolea mfano wa kiwanda cha Mumias anachosema tayari matunda ya kukodishwa kwake yameanza kuonekana.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

KINDIKI ATETEA ‘UCHUNGU’ WA SUKARI

UCHUNGU WA SUKARI WAENDELEA KUJITOKEZA

KINDIKI ATETEA ‘UCHUNGU’ WA SUKARI

IPOA YASEMA WATEKAJI NYARA HAWAJULIKANI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *