#Local News

PIGO KWA POLISI KESI YA LSK KUENDELEA

Ni pigo kwa polisi baada ya Mahakama Kuu kukataa ombi lao la kufutilia mbali kesi ya chama cha wanasheria nchini LSK kuhusu madai ya ukiukaji wa maadili wakati wa maandamano ya mwaka jana.

Jaji Lawrence Mugambi ameamua kuwa taratibu za ndani haziwezi kushughulikia ukiukaji wa haki za kimsingi.

LSK inataka maafisa wawajibishwe kwa kifo cha Rex Masai na Inspekta Jenerali azuiwe kuwatuma polisi wa kiraia kudhibiti maandamano.

Imetayarishwa na Janice Marete

PIGO KWA POLISI KESI YA LSK KUENDELEA

MGOMO WA WAUGUZI KUWAKUMBA WAGONJWA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *