#Local News

NAIBU GAVANA WA KAUNTI YA UASIN GISHU KUAPISHWA LEO

Naibu gavana wa kaunti ya Uasin Gishu Evans Kapkea anatarajiwa kuapishwa hii leo mjini Eldoret.

Kapkea, mwenye umri wa miaka 34, na ambaye alikuwa Mbunge wa wadi ya Tembelio aliteuliwa na Gavana Jonathan Bii baada ya kujiuzulu kwa aliyekuwa naibu gavana wa kaunti hiyo John Barorot.

Imetayarishwa na Janice Marete

NAIBU GAVANA WA KAUNTI YA UASIN GISHU KUAPISHWA LEO

CHEPNGETICH ATUZWA MWANASPOTI BORA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *