#Local News

WANAFUNZI WAVAMIA HELB KUDAI MIKOPO

Athari za kucheleweshwa kwa mikopo ya bodi ya kufadhili elimu ya juu HELB zimeanza kujitokeza, baadhi ya wanafunzi wa chuo kikuu cha Nairobi wakivamia afisi za bodi hiyo kushinikiza mikopo hiyo kutumwa.

Wanafunzi hao ambao wamekita kambi nje ya jumba la Anniversary Towers kwa muda, wamelalamikia kushindwa kufadhili masomo yao kutokana na ukosefu wa fedha.

Hata hivyo, bodi hiyo imeahidi kutoa fedha hizo kufikia mwisho wa siku ya leo.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WANAFUNZI WAVAMIA HELB KUDAI MIKOPO

JUHUDI ZA KUBORESHA AFYA

WANAFUNZI WAVAMIA HELB KUDAI MIKOPO

MBADI ABASHIRI UKUAJI WA UCHUMI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *