MAJAMBAZI 10 WALIONASWA KWENYE CCTV WAKIVAMIA GENGE LA NAIROBI WAMEKAMATWA
Maafisa wa upelelezi wamewakamata washukiwa kumi wanaoaminika kuhusika na visa vya uvamizi jijini Nairobi na viunga vyake.
Polisi wanasema washukiwa waliokuwa kizuizini walikamatwa katika operesheni ya pamoja kufuatia uchunguzi wa visa kadhaa vya wizi wenye ghasia na mauaji vilivyoripotiwa na waathiriwa.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































