#Local News

WAFANYABIASHARA GIKOMBA WASHTAKI SERIKALI YA NAIROBI

Wafanyabiashara katika soko la Gikomba jijini Nairobi wameelekea mahakamani wakitaka ubomoaji wa maeneo yao ya biashara kusitishwa

Kwa mujibu wa wafanyabiashara hao, ubomoaji huo umelemaza shughuli za biashara na hivyo kuathiri Maisha yao ya kila siku.

Aidha, wamesema kuwa wenzao wawili wamefariki kutokana na mzongo wa mawazo.

Mahakama itatoa uamuzi kuhusu suala hilo tarehe 10 mwezi ujao.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *