KARANI MPYA WA KAUNTI YA HOMA BAY HANNINGTON ABEKA AHIDI KUWAJIBIKIA MAJUKUMU YAKE BILA MAPENDELEO

Wakaazi wa kaunti ya Homa Bay wanatarajiwa utendakazi bora wa bunge la kaunti hiyo baada ya kupata Karani mpya.
Karani mpya wa Bunge la kaunti hiyo Hannington Abeka ameahidi kuhudumia bunge hilo bila mapendeleo.
Aidha ameweka wazi lengo lake ambalo kulingana naye ni kuhakikisha kuwa bunge hilo lina maadili mema.
Imetayarishwa na Janice Marete