#Local News

PARENO, KARUGU WAHOJIWA

Kamati ya ulinzi na masuala ya kigeni katika bunge la kitaifa imewahoji Daktari Caroline Karugu na Judith Pareno walioteuliwa na Rais William Ruto kuhudumu kama katibu mkuu kwenye wizara ya Jumuiya ya Afrika Mashariki na idara ya haki na masuala ya kikatiba mtawalia.

Daktari Karungu ametakiwa kuzungumzia uchaguzi wa mwenyekiti wa tume ya umoja wa Afrika AUC naye Pareno akitakiwa kutoa mtazamo wake kuhusu serikali ya muungano na utendakazi wake.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

PARENO, KARUGU WAHOJIWA

WAKENYA 6 WASAKWA

PARENO, KARUGU WAHOJIWA

SAKATA YA MALARIA YAMWANDAMA TUM

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *