#Local News

WAKAZI WA NAMWELA WAPOKEA UFADHILI WA MBUZI

Ni afueni kwa wakazi wa wadi ya Namwela kaunti ya Bungoma, baada ya kupokezwa mbuzi wa maziwa kutoka kwa mwakilishi wa wadi hiyo Charles Nangulu, ambaye amesisitiza kuwa ufigaji na kilimo ndio njia mwafaka ya kuboresha uchumi wao.

Akizungumza kwenye hafla hiyo, mwakilishi wadi huyo amewahimiza walionufaika kuwatuza mifugo hao kama njia mojawapo ya kuondoa umaskini eneo hilo, walionufaika wakionyesha matumaini ya kuimarika kiuchumi.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WAKAZI WA NAMWELA WAPOKEA UFADHILI WA MBUZI

RAIS RUTO AMWOMBOLEZA MALULU

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *