#Local News

ODM YATAKIWA KUWA NA MSIMAMO WA KISIASA

Naibu kiongozi wa chama cha DAP Kenya George Natembea ametoa wito kwa chama cha ODM kujiunga na serikali na kukoma kujihusisha na maswala ya upinzani kwa kuwa kulingana naye waliugura mrengo huo.

Natembea aidha amewaambia viongozi wa chama cha ODM wawe tayari kuwajibishwa na wakenya ifikapo mwaka 2027 katika uchaguzi mkuu.

Imetayarishwa na Janice Marete

ODM YATAKIWA KUWA NA MSIMAMO WA KISIASA

GAVANA WA BUSIA ATAKIWA KUVUNJA BARAZA LA

ODM YATAKIWA KUWA NA MSIMAMO WA KISIASA

KDF: HATUPEANI AJIRA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *