#Local News

RUTO AZUNGUMZIA MADENI VYUONI

Rais William Ruto amehimiza ushirikiano miongoni mwa washikadau wa elimu ili kuvikwamua vyuo vikuu vya umma kutoka kwenye minyororo ya madeni ambayo imesababisha kudorora kwa masomo kwenye taasisi hizo.

Akizungumza kwenye hafla ya kutawazwa kwa chansela wa chuo kikuu cha Cooperative Dokta William Chitunga, Rais Ruto amekariri kujitolea kwa serikali yake kuimarisha vyuo vinavyokumbwa na changamoto za kifedha.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

RUTO AZUNGUMZIA MADENI VYUONI

MBINU ZA RAILA KUONDOA UMASKINI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *