UPASUAJI WA MIILI YA WANAFUZI 21 WALIOAGA KWA MKASA WA MOTO HUKO NYERI WAANZA LEO
Mwanapatholojia mkuu wa serikali Johansen Oduor anatarajiwa hii leo kuongoza shughuli ya upasuaji wa miili ya wanafunzi walioteketea katika mkasa wa moto shule moja eneo la kieni kaunti ya nyeri.
Zoezi hilo lilitarajiwa kungo nanga hapo jana lakini shughuli hiyo ikakatizwa ili kutoa nafasi kwa wazazi na familia za waathiriwa kutazama miili hiyo.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































