SERIKALI: TUNAWAPANGA WAFUGAJI
Serikali imeweka mikakati ya kupunguza bei ya malighafi ya kutengeneza vyakula vya mifugo kama njia mojawapo ya kupunguza gharama ya uzalishaji kwa mkulima na kuimarisha ubora wa bidhaa za mifugo nchini.
Kulingana na katibu katika wizara ya kilimo Jonathan Mueke, serikali imepunguza ushuru wa kuagiza malighafi Pamoja na utumizi wa mbinu za teknolojia kama vile vyakula vya kijenetiki.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































