#Local News POLISI WAKAMATA WAHUNI ZAIDI YA 80 NAIROBI Takriban wahuni themanini na wanne wamekamatwa katika oparesheni za polisi zilizotekelezwa katika wiki za hivi karibuni jijini Nairobi huku juhudi Admin / 10 hours Comment (0) (89)
#Local News DUALE AONYA HOSPITALI KUHUSU ULAGHAI WA SHA Waziri wa Afya Aden Duale ameonya vituo vya afya vinavyoshiriki katika mpango wa mamlaka ya afya ya jamii akisema vitakavyohusika Admin / 10 hours Comment (0) (25)
#Local News POLISI NAIROBI WAKATAA MAANDAMANO YALIYOPANGWA Kamanda wa polisi jijini Nairobi Issa Mohamud amesema maandamano yaliyopangwa kufanyika Jumanne Aprili ishirini na moja hayatambuliwi kisheria kwa kuwa Admin / 10 hours Comment (0) (23)
#Local News WANAFUNZI WA UON WAPINGA MAANDAMANO YA UPINZANI. Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Nairobi wamepinga hoja ya maandamano ya viongozi wa upinzani kulalamikia bei ya mafuta. Wanfunzi hao Admin / 11 hours Comment (0) (61)
#Local News BEI YA MAFUTA: RUTO ATAKIWA KUPANDISHA MISHAHARA Rais William Ruto ametakiwa kupandisha kiwango cha chini cha mishahara ya wafanyakazi wa ngazi ya chini kutokana na kupanda kwa Admin / 14 hours Comment (0) (54)
#Local News KENHA YAONYA USAFIRI UTASAMBARATIKA MAI MAHIU-SUSWA Madereva wanaotumia barabara ya Mai Mahiu kuelekea Suswa hadi Narok wameonywa kuhusu kusambaratika kwa shughuli za usafiri kwenye barabara hiyo Admin / 14 hours Comment (0) (57)
#Local News MUKHISA AAGIZWA NA CUE KUHUSU MADAI DHIDI CHUO Tume inayosimamia elimu ya vyuo vikuu, CUE, imemwagiza aliyekuwa katibu mkuu wa idara ya biashara na ustawi chini ya Umoja Admin / 14 hours Comment (0) (57)
#Local News MURKOMEN, KANJA KUFIKA BUNGENI KUHUSU UHUNI Waziri wa usalama wa kitaifa Kipchumba Murkomen, na inspekta mkuu wa polisi Douglas Kanja, wameagizwa kufika mbele ya kamati ya Admin / 14 hours Comment (0) (33)
#Local News MELI YA KENYA MV SEA MFALME YAZUILIWA TANZANIA Mamlaka ya usafiri wa baharini nchini (KMA) imethibitisha kuwa meli yenye bendera ya Kenya Imezuiliwa nchini Tanzania. Katika taarifa yake, Admin / 1 day Comment (0) (31)
#Local News BODI YA SUKARI YAWAHAKIKISHIA WAKULIMA MALIPO KWA WAKATI Bodi ya sukari nchini imewahakikishia wakulima wa miwa kuwa serikali inachukua hatua madhubuti kuhakikisha wanapokea malipo yao kwa wakati unaofaa Admin / 1 day Comment (0) (30)