#Local News

RAIS ATAKIWA KUSITISHA UBOMOAJI

Rais William Ruto ametakiwa kuagiza kusitishwa kwa ubomoaji wa makazi na nyumba ambao umekuwa ukiendelea katika eneo la Athi River kaunti ya Machakos.

Kulingana na seneta wa kaunti hiyo Agnes Kavindu, hatua hiyo ni ukosefu wa heshima kwa familia zilizotumia fedha zao kujenga nyumba hizo ilhali baadhi ya ubomoaji unaendelea bila notisi kutolewa.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

RAIS ATAKIWA KUSITISHA UBOMOAJI

5 WAUAWA MANDERA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *