MALALA ATEMWA
Kamati ya taifa ya chama cha United Democratic Alliance (UDA) umetupilia mbali uteuzi wa katibu mkuu wa chama hicho Cleophas Malala.
Katika taarifa iliyotolewa baada ya kikao cha asubuhi ya leo kamati hiyo imesema makamu mwenyekiti Hassan Omar sasa atakuwa katibu mkuu kwa muda.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































