#Business

WAKULIMA WA NG’OMBE WA MAZIWA KUNUFAIKA NA ONGEZEKO LA MAUZO YA NJE YA NCHI

Wakulima wa ng’ombe wa maziwa watanufaika baada ya Kenya kutangaza mpango wa kuongeza mauzo ya nje ya maziwa hadi KSh bilioni 9 ifikapo 2025, kutoka KSh bilioni 7.3 mwaka 2023.

Mwenyekiti wa Bodi ya Maziwa Kenya (KDB), Genesio Mugo, amesema nchi inalenga masoko kama Mashariki ya Kati, Sudani Kusini na Somalia.

Serikali inapanga kusindika zaidi maziwa kuwa siagi, jibini, samli na mtindi, na kutumia mkataba wa AfCFTA kufikia masoko mapya kama DRC.

Imetayarishwa na Janice Marete

WAKULIMA WA NG’OMBE WA MAZIWA KUNUFAIKA NA ONGEZEKO LA MAUZO YA NJE YA NCHI

CS KAGWE ATAKA UFUMBUZI WA KIFEDHA KUIMARISHA

WAKULIMA WA NG’OMBE WA MAZIWA KUNUFAIKA NA ONGEZEKO LA MAUZO YA NJE YA NCHI

KENYA, UHOLANZI ZASHIRIKIANA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *