#Local News

MFUMO WA MISHAHARA WAENDELEA KUMPORA MKENYA, RIPOTI

Serikali inapoteza mamilioni ya pesa kila mwezi kutokana na kasoro zilizo kwenye mfumo wa mishahara ya sekta ya umma.

Haya ni kulingana na ripoti ya mkaguzi wa hesabu za serikali Nancy Gathungu, ikionyesha uwepo wa wafanyakazi hewa, malipo ya kupita kiasi na tofauti ya kiasi cha mishahara kwa wafanyakazi walio katika ngazi sawa kwenye sekta mbali mbali.

Aidha, ripoti hiyo imesema baadhi ya wafanyakazi halali wa serikali hulipwa kwa kuchelewa kinyume na sheria.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MFUMO WA MISHAHARA WAENDELEA KUMPORA MKENYA, RIPOTI

KWAHERI OTP, INGIA DIJITALI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *