#Local News

NCIC YAONYA DHIDI YA MATAMSHI YA CHUKI

Tume ya uwiano na utangamano wa kitaifa Ncic imetaka kusitishwa kwa matumizi ya lugha ya uchochezi na ya kuibua chuki inayotumika na wanasiasa na wakenya kwa ujumla katika vikao tofauti.

Katika ujumbe mwenyekiti wa Ncic Samuel Kobia anasema matamshi ambayo yamekuwa yakitolewa kwenye mikutano ya kisiasa yanatishia umoja wa kitaifa.

Anasema iwapo hayatadhibitiwa matamshi haya yataleta migawanyiko na kurejesha nyuma taifa kimaendeleo.

Imetayarishwa na Maureen Amakhobe

NCIC YAONYA DHIDI YA MATAMSHI YA CHUKI

MPOX YAZIDI KUENEA

NCIC YAONYA DHIDI YA MATAMSHI YA CHUKI

POLISI WARUDISHIWA MZIGO WA MAUAJI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *