#Local News

RUTO ABASHIRI USTAWI WA KENYA

Kenya itafikia viwango vya maendeleo ya mataifa ya Uchina na Singapore kufikia mwaka wa 2055.

Haya ni kwa mujibu wa Rais William Ruto, akisema hayo yataafikiwa kupitia mshikamano wa nchi, hasa kutokana na juhudi zake za kuwajumuisha mahasimu wake wa kisiasa serikalini.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

RUTO ABASHIRI USTAWI WA KENYA

UTEKAJI: RUTO ATAKIWA KUINGILIA KATI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *