#Local News

UTATA WA MUHURI WATATULIWA

Mwanasheria mkuu wa serikali Dorcas Oduor amesisitiza kuwa muhuri wa serikali ungali unahifadhiwa katika afisi yake ilivyo kisheria, akizima madai kwamba muhuri huo ulihamishiwa kwenye afisi ya mkuu wa utumishi wa umma Felix Koskei.

Kwa mujibu wa Oduor, madai hayo yanalenga kuleta mgawanyiko serikalini.

Ameyasema haya alipofika mbele ya kamati ya kurahisisha kesi za ardhi ya serikali.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

UTATA WA MUHURI WATATULIWA

MAHAKAMA YASITISHAI MCHAKATO WA IEBC

UTATA WA MUHURI WATATULIWA

ODINGA ATOA ARDHI KWA SERIKALI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *