VITAMBULISHO: VIONGOZI WAPINGA AGIZO LA RUTO
Viongozi mbali mbali akiwemo gavana wa Trans Nzoia George Natembeya, wameendelea kupinga agizo la rais William Ruto la kutaka vikwazo viondolewe katika mchakato wa kutoa vitambulisho vya kitaifa kwa watu wanaotoka maeneo ya mipakani hasa Kaskazini mashariki, wakisema uamuzi huo utahujumu usalama wa taifa.
Viongozi wengine ambao wamepinga agizo hilo ni maseneta wakiongozwa na mwenzao wa Busia Okiya Omtatah.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































