MAHAKAMA YALENGA KURAHISISHA HAKI
Jaji mkuu Martha Koome amezindua majopokazi 26 yatakayohakikisha uarahisi katika upatikanaji wa haki, hatua hiyo ikilenga kuhakikisha wananchi hasa walio maeneo ya mashinani wanapata huduma za kisheria kwa urahisi.
Kwa mujibu wa Koome, mikakati iliyowekwa tayari imezaa matunda, zaidi ya kesi 15,000 zikitatuliwa.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 












































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































