#Local News

MAHAKAMA YALENGA KURAHISISHA HAKI

Jaji mkuu Martha Koome amezindua majopokazi 26 yatakayohakikisha uarahisi katika upatikanaji wa haki, hatua hiyo ikilenga kuhakikisha wananchi hasa walio maeneo ya mashinani wanapata huduma za kisheria kwa urahisi.

Kwa mujibu wa Koome, mikakati iliyowekwa tayari imezaa matunda, zaidi ya kesi 15,000 zikitatuliwa.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MAHAKAMA YALENGA KURAHISISHA HAKI

WAZAZI WAWATAKA WALIMU KURUDI SHULENI

MAHAKAMA YALENGA KURAHISISHA HAKI

WAWAKILISHI WADI MERU WAMKANA MWANGAZA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *