#Local News

RAIS RUTO AONYA WALAGHAI WA SHA WATAANDAMWA

Rais William Ruto amewaonya watu binafsi na hospitali dhidi ya kuilaghai mamlaka ya afya SHA, akisema kuwa wahusika watakamatwa na kufunguliwa mashtaka.

Katika kikao na wajumbe kutoka kaunti ya Kiambu katika Ikulu ya Nairobi, Ruto ameapa kuangamiza ulaghai wa aina yoyote katika bima ya SHA

Aidha, amezionya hospitali za umma dhidi ya kuwatoza wagonjwa ada zilizolipwa na serikali.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

RAIS RUTO AONYA WALAGHAI WA SHA WATAANDAMWA

HOJA YA MUTAI KUENDELEA SENETI

RAIS RUTO AONYA WALAGHAI WA SHA WATAANDAMWA

WANYAMA APONGEZA HARAMBEE STARS

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *