#Local News

IEBC: RUTO APUUZA MAHAKAMA

Mwenyekiti mteule wa tume huru ya uchaguzi na mipaka IEBC Erastus Ethekon na makamishna 6 wa tume hiyo wanatarajiwa kuapishwa muda wowote ili kuanza rasmi majukumu yao baada ya Rais William Ruto kuwateua rasmi kuongoza tume hiyo.

Kwenye gazeti rasmi la serikali, Rais Ruto amewateua Anne Nderitu, Moses Mukhwana, Mary Sorobit, Hassan Noor, Francis Odhiambo na Fahima Abdallah.

Hata hivyo, uteuzi huo umefanywa licha ya agizo la mahakama kumzuia Rais Ruto kufanya hivyo.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

IEBC: RUTO APUUZA MAHAKAMA

MARAGA ATAKA KENYA KWANZA ING’OKE

IEBC: RUTO APUUZA MAHAKAMA

USHINDI WA KWANZA WA STARS

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *