#Local News

TAHADHARI YATOLEWA KUHUSU MPOX

Unashauriwa kuchukua tahadhari dhidi ya maambukizi ya ugonjwa wa Mpox ambao unazidi kuenea nchini Kenya ikiwa na zaidi ya visa 200 vya maambukizi.

Kaunti ya Mombasa imeripotiwa visa 98 hasa katika maeneo ya Nyali na Changamwe watu 2 wakiripotiwa kufariki kutokana na Mpox.

Maafisa wa afya huko Mombasa wanasema ugonjwa huo unazidi kuenea katika jamii na kuwataka wakaazi kudumisha usafi.

Imetayarishwa na Maureen Mukhobe

TAHADHARI YATOLEWA KUHUSU MPOX

MGOMO WAFUTILIWA MBALI MACHAKOS

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *