#Local News

AMRI YA RUTO KWA POLISI

Rais William Ruto amsalimu amri na kuamuru vikosi vya usalama kuachia huru wakenya wote waliokamatwa wakati wa maandamano kutokana na shinikizo za Wakenya.

Katika taarifa kwa Wakenya kutoka Ikulu ya Nairobi, Ruto aidha ameamuru mashtaka yote dhidi ya waandamanaji kuondolewa.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *