#Local News

MARY MUTHONI; HAKUNA HMPV KENYA

Wakenya wamehakikishiwa kuwa wizara ya afya inafanya kila iwezalo kuthibiti maambukizi ya ugonjwa wa m-pox.

Wizara ya afya aidha imesema kuwa imeimarisha uchunguzi wa HMPV na mpox katika mipaka yote ya kenya.

Kwa mujib u wa katibu wa afya ya umma Mary Muthoni serikali imeimarisha uchunguzi wa watu wote wanaokuja humu nchini na kwamba kenya haijarekodi kisa chochote cha HMPV.

Imetayarishwa na Janice Marete

MARY MUTHONI; HAKUNA HMPV KENYA

MAN UNITED WAICHARAZA ASENALI 5-3

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *