SERIKALI YAWEKA MIKAKATI YA KUIMARISHA KILIMO
Serikali kupitia wizara ya kilimo imeweka mikakati ya kuimarisha sekta hiyo ili kuafiki utoshelezi wa chakula nchini.
Katika taarifa kwa vyombo vya habari kwenye kongamano lililowaleta Pamoja wakulima na washikadau wengine katika sekta hiyo lililofanyika katika chuo kikuu cha kibabi kaunti ya Bungoma katibu wa wizara ya kilimo Jonathan Mueke anasema serikali imejitolea kuwasaidia wakulima kufaidi mazao yao ya shambani vile vile usalama wa chakula nchini.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































