#Local News

WABUNGE WAKASHIFU KUPUNGUZWA KWA BAJETI YA ARTHI

Wabunge wamekashifu kupunguzwa kwa bajeti ya wizara ya arthi na tume ya kitaifa ya arthi kwa madai kwamba shughuli za wizara hiyo zitasimama ikiwa itaithinishwa.

Wajumbe wa kamati hiyo wamesema kuwa kupunguzwa kwa bajeti hiyo kutalemaza shughuli zote wakitoa mfano na fidia ya madeni yote ambayo hayajalipwa.

Imetayarishwa na Janice Marete

WABUNGE WAKASHIFU KUPUNGUZWA KWA BAJETI YA ARTHI

KUPANDA KWA BEI YA VYAKULA VYA MIFUGO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *