#Local News

MBEGU, MBOLEA GHUSHI HATARI- WATAALAMU

Wataalamu wameonya kuwa kuingizwa kwa mbegu ghushi na mbolea ambayo haijakaguliwa kumechangia kuongezeka kwa magonjwa na wadudu wanaovamia mimea na kusababisha hasara kubwa kwa wakulima nchini.

Kutokana na hilo, serikali imewaonya wafanyabishara dhidi ya kuingiza nchini mbegu hizo kupitia mipaka mbali mbali humu nchini na kuwauzia wakulima.

Wakizungumza baada ya kuzuru kituo cha Pamoja cha mpakani eneo la Namanga kaunti ya Kajiado, bodi ya shirika la kutathmini ubora wa mbegu KEPHIS imeonya kuwa wahusika watakabiliwa kisheria.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

MBEGU, MBOLEA GHUSHI HATARI- WATAALAMU

MGOMO WA WAUGUZI TAITA TAVETA WANUKIA

MBEGU, MBOLEA GHUSHI HATARI- WATAALAMU

WIZARA YA AFYA YAFANYA MAZUNGUMZO NA BARAZA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *