IPITISHWE AMA IANGUSHWE?
Wabunge wanatarajiwa kuanza tena kujadili Mswada wa Fedha wa 2024 ambao umeibua hisia tofauti miongoni mwa Wakenya kutokana na msukumo wake wa kutaka kutozwa ushuru zaidi.
Jana jumatano wabunge waliendeleza mjadala kuhusu ripoti iliyotolewa na kamati ya fedha ya bunge la kitaifa Pamoja na mswada wa fedha huku baadhi yao akiwemo mbunge maalum John Mbadi wakitilia shaka marekebisho hayo kwa madai kwamba huenda kuna njama fiche.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































