#Local News

AJIUA KWA KUNYIMWA ELFU KUMI

Mwanaumme mmoja eneo la malava kaunti ya kakamega amejiua kwa kubugia sumu baada ya kutofautiana na babaye mzazi kuhusu kumwongeza pesa za kununua ngombe wa kuchinja katika mazishi ya mamake.

Kwa mujibu wa bibi zake wawili marehemu ambaye ametambulika kama Simon Chumbe baba wa Watoto 15 alianza kupiga nduru alkilia baada ya babaye kukosa kumwongeza shilingi 10,000 kwa ajili ya kununua ngombe huyo.

Imetayarishwa na Janice Marete

AJIUA KWA KUNYIMWA ELFU KUMI

NAOMI OSAKA APONEA

AJIUA KWA KUNYIMWA ELFU KUMI

WANAWAKE WANAHIMIZWA KUWANIA UONGOZI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *