#Local News

WETANG’ULA ATOA WITO KWA POLISI, DPP

Spika wa bunge la kitaifa Moses Wetang’ula, ameendelea kuitaka idara ya usalama kuendesha uchunguzi wa kina kwenye mauaji ya aliyekuwa mbunge wa Kasipul Ong’ondo Were, akitaka waliohusika kuwajibishwa mara moja.

Akiwahutubia wanahabari katika hifadhi ya Lee alikoongoza tume ya huduma za bunge kuomboleza kifo hicho, Wetang’ula ameshutumu mauaji hayo na kushinikiza uchunguzi wa kina.

Aidha, amesisitiza haja ya mageuzi kufanywa katika kitengo cha usalama wa wabunge.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WETANG’ULA ATOA WITO KWA POLISI, DPP

MWANGA WA TUMAINI NGARA

WETANG’ULA ATOA WITO KWA POLISI, DPP

WAKENYA WACHUNGULIA IEBC MPYA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *