RAIS RUTO ATEUA WAZIRI 11
Rais William Ruto ameliteua baraza jipya la mawaziri katika awamu ya kwanza, ambalo litakuwa na mawaziri 11 kabla ya awamu ya pili kutangazwa.
Hii hapa ni orodha ya mawaziri hao:
Kithure Kindiki – Usalama wa kitaifa
Dr Debra Mulongo Barasa – Afya
Alice Wahome – Ardhi
Aden Duale – Ulinzi
Davis Chirchir – Uchukuzi
Rebecca Miano – Mwanasheria mkuu
Soipan Tuya- Mazingira
Julius Migosi- Elimu
Eric Muriithi – Maji
Dr Margaret Ndungu- Habari na teknolojia
Andrew Karanja – Kilimo
Imetayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































