WAKENYA WANAOISHI LEBANONI WATAKIWA KUJISAJILI ILI WAWEZE KUHAMISHWA
Wakenya wanaoishi nchini Lebanon wana hadi tarehe 12 mwezi huu wa Oktoba kujiandikisha kwa ajili ya kuhamishwa kutoka taifa hiyo baada yao kutafuta msaada kutoka kwa serikali ya Kenya kufuatia mashambulizi ya mara kwa mara yanayoshuhudiwa huko huku kukiwa na hofu ya kutokea kwa vita kimilili kati ya Israel na kundi la Esbola.
Katibu wa maswala ya Diaspora Roselyne Njogu anasema k,uwa makundi mamili ya kenya tayari yamehamishwa.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































