#Local News

KAZI YA POLISI SIO KUUA NI KULINDA;IPOA

Mamlaka ya kutathmini utendakazi wa maafisa wa polisi IPOA imeanzisha uchunguzi kufuatia kifo cha mmoja wa waandamanaji Rex Masai anayesemekana kuawa kwa kupigwa risasi na afisa wa polisi wakati wa maandamano ya kupinga mswada wa fedha.

Ann Makori mwenyekiti wa IPOA amewashtumu maafisa wa polisi kwa kutumia nguvu kupita kiasi kuwatawanya waqandamanaji.

Viongozi mbali mbali na wakenya kwa jumla wameibuia hisia tofauti kufuatia mauaji hayo.

Imetayarishwa na Janice Marete

KAZI YA POLISI SIO KUUA NI KULINDA;IPOA

SIMAMA NA FAMILIA YA REX MASAI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *