#Local News

WAKULIMA BUSIA WAPINGA ETIMS

Wakulima wa miwa katika kaunti ya Busia wamepinga vikali agizo la mamlaka ya ukusanyaji ushuru KRA kuwataka wajisajili na mfumo wa ETIMS kabla ya kuruhisiwa kuuza miwa yao, wakitishia kung’oa zao hilo na kujitosa katika kilimo mbadala kufuatia agizo hilo.

Wakizungumza katika eneo la Busibwabo kwenye hafla ya uhamasisho kuhusu mfumo huo wa ushuru, wakulima hao wamesema mfumo huo utawaletea hasara kutokana na gharama ya juu wanayotumia kuzalisha miwa.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WAKULIMA BUSIA WAPINGA ETIMS

“HATUELEWANI, DAWA IKO!”- NAKURU

WAKULIMA BUSIA WAPINGA ETIMS

MAANDAMANO YA USHURU MOMBASA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *