#Local News

JOHO AWAHAKIKISHIA WAFUASI WA ODM USAWA NA HAKI

Naibu kiongozi wa chama cha ODM Hassan Ali Joho amewahakikishia wanaowania uongozi katika chama hicho kwamba mikakati imewekwa ili kuimarisha haki na usawa katika uchaguzi wa viongozi wa mashinani

Kwa mujibu wa Joho uongozi wa chama hicho umetambua baadhi ya mapengo na dosari ambazo utatiza uchaguzi na mchujo huku akiahidi kwamba mabadiliko yatafanya ili kudumisha usawa katika chama

Kwa upande wake gavana wa migori Ochilo Ayacko amewataka wafuasi kudumisha umoja na ushirikiano kama njia mojawapo ya kuimarisha chama

Imetayarishwa na Janice Marete

JOHO AWAHAKIKISHIA WAFUASI WA ODM USAWA NA HAKI

SERIKALI YA KILIFI YATOA AJIRA KWA VIJANA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *