#Local News

MUDAVADI APENDEKEZA NYONGEZA YA FEDHA KWA WIZARA YAKE

Msimamizi wa maswala ya kigeni ambaye pia ni Waziri mwenye mamlaka makuu Musalia Mudavadi ameitaka serikali kuongeza mgao wa fedha katika wizara yake.

Kwa mujibu wa Mudavadi wizara yake inahitaji fedha Zaidi ili kufanikisha shughuli zake kikamilifu.

Ameongeza kuwa serikali imefanikiwa kutia Saini mikataba mbali mbali na serikali za mataifa menginee Pamoja na sekta binafsi kwa manufaa ya raia.

Imetayarishwa na Janice Marete

MUDAVADI APENDEKEZA NYONGEZA YA FEDHA KWA WIZARA YAKE

“POMBE YA MAUTI NA JELA”

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *