WAKAAZI WA MOMBASA: RUTO NI WA MANENO MATAMU BILA VITENDO
Huku rais William Ruto akitarajiwa kuhutubia wabunge wa mabunge yote mawili mchana wa leo, wakenya kutoka maeneo mbali mbali wamejitokeza kueleza matarajio yao kutokana na hotuba hiyo.
Katika kaunti ya Mombasa baathi ya wakaazi wanasema kuwa hawana matumaini kwamba rais Ruto atakuwa na loloto jipya la kumfaidi mken yawa kawaida.
Kulingana nao rais ruto ataendelea kutoa ahadi ya miradi mingi ya serikali ila miradi iko mingi aliyoahidi na bado hajatekeleza.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































