#Local News

RAIS RUTO AUKEJELI UPINZANI

Rais William Ruto amewakosoa viongozi wa upinzani kwa madai ya kuendeleza uchochezi nchini, akiwataka wakenya kujitenga nao kwa misingi kwamba hawana mpango wa kuendesha serikali.

Akizungumza katika kaunti ya Kakamega, rais amedokeza kuwa hatakabidhi mamlaka kwa upinzani anaoutaja kuwa usio na ajenda kwa wakenya.

Kauli yake ikisisitizwa na wandani wake waliokuwa wameandamana naye.

Imetayrishwa na Antony Nyongesa

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *