OBURU ATEULIWA KUONGOZA ODM
Chama cha ODM kimemteua snenta wa Siaya Dakta Oburu Odinga kuwa kaimu kinara wa chama hicho kufuatia kifo cha kakae mdogo Raila Odinga aliyekuwa kinara wa chama hicho.
Katika mkutano wa baraza kuu la chama mapema leo, ODM kwa kauli moja imekubali kwamba Oburu achukue uongozi wa chama hadi kamati ya uchaguzi itakapokaa tena kutoa mwelekeo.
Imeatayarishwa na Antony Nyongesa
English 











































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































