OBURU ATEULIWA KUONGOZA ODM
Chama cha ODM kimemteua snenta wa Siaya Dakta Oburu Odinga kuwa kaimu kinara wa chama hicho kufuatia kifo cha kakae mdogo Raila Odinga aliyekuwa kinara wa chama hicho.
Katika mkutano wa baraza kuu la chama mapema leo, ODM kwa kauli moja imekubali kwamba Oburu achukue uongozi wa chama hadi kamati ya uchaguzi itakapokaa tena kutoa mwelekeo.
Imeatayarishwa na Antony Nyongesa
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































