#Local News

MWAMKO MPYA CHUONI MOI

Shughuli za masomo zinatarajiwa kuimarika katika chuo kikuu cha Moi na kutamatisha vuta nikuvute ambayo imekuwepo kwa miezi kadhaa, baada ya usimamizi mpya wa chuo hicho kuanza rasmi majukumu yake na kuahidi kuboresha huduma.

Baada ya mkutano na wafanyakazi wa chuo hicho, mwenyekiti Profesa Noah Midamba na naibu chansela Profesa Kiplagat Kotut wameahidi mageuzi ya kudumu chuoni humo.

Aidha, wameahidi kuwa wanafunzi watakuwa wakikamilisha masomo yao kwa wakati.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *