#Local News

UPINZANI: HAKI KWA WAATHIRIWA KABLA YA FIDIA

Muungano wa upinzani umebuni kamati maalum itakayoangazia masuala ya waathiriwa wa maandamano watakaorodheshwa kufidiwa na jopokazi lililoteuliwa na Rais William Ruto.

Haya ni kulingana na kinara wa Wiper Kalonzo Musyoka akizungumza katika kaunti ya Kajiado, akiongeza kuwa muungano huo utahakikisha kwamba waathiriwa wanapata haki mwanzo kabla ya fidia.

Alikuwa ameandamana na Waziri wa zamani Fred Matiang’i, aliyewataka vijana kujisajili kwa wingi kama wapiga kura.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

UPINZANI: HAKI KWA WAATHIRIWA KABLA YA FIDIA

WAUGUZI WASITISHA MGOMO TRANS NZOIA

UPINZANI: HAKI KWA WAATHIRIWA KABLA YA FIDIA

RUPHA YASITISHA HUDUMA ZA SHA HOSPITALINI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *