#Local News #Sports

BARAZA LA MAGAVANA LALAMIKIA MADENI

Huenda wakazi katika maeneo ya mashinani wakakosa huduma muhimu zinazotolewa na serikali za kaunti kutokana na kucheleweshwa kwa mgao wa serikali hizo ambao umesababisha kuongezeka kwa madeni.

Kulingana na baraza la magavana likiongozwa na mwenyekiti wake Ahmed Abdullahi, serikali hizo zimepokea shilingi bilioni 400.26 pekee, kati ya shilingi bilioni 600.69 zilizotengwa kwa mwaka wa kifedha uliopita.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *