MGOMO WA UASU WANUKIA

Muungano wa kutetea maslahi ya wahadhiri UASU umetishia kwamba wanachama wake watagoma iwapo serikali haitatekeleza malalamishi yao kuhusiana na masuala mbali mbali ikiwemo kucheleweshwa kwa malipo yao.
Wakiongozwa na katibu wa muungano huo Maloba Wekesa, wahadhiri hao vile vile wameitaka serikali kutatua mgogoro wa uongozi katika chuo kikuu cha Nairobi.
Imetayarishwa na Antony Nyongesa