#Local News

RUTO, UHURU WAKUTANA NYAYO

Viongozi wakuu nchini na kimataifa wakiongozwa na Rais William Ruto, naibu wake Kithure Kindiki, Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta, jaji mkuu Martha Koome na uongozi wabunge wamejiunga na maelfu ya waombolezaji katika uwanja wa Nyayo ambako ibada ya kitaifa ya mazishi ya Waziri mkuu wa zamani Raila Odinga inaendelea.

Rais Ruto alitangulia kuwaongoza viongozi wengine kuutazama mwili wa Odinga katika majengo ya bunge kabla ya kuelekea Nyayo.

Mwili huo umewasili uwanjani humo dakika chache zilizopita kwenye msafara wa jeshi.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

RUTO, UHURU WAKUTANA NYAYO

EPL KUREJEA ARSENAL WAKIPATA PIGO

RUTO, UHURU WAKUTANA NYAYO

WAKUU WA MATAIFA WAWASILI NYAYO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *